Surah Saba aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Saba aya 15 in arabic text(Sheba).
  
   
ayat 15 from Surah Saba

﴿لَقَدْ كَانَ لِسَبَإٍ فِي مَسْكَنِهِمْ آيَةٌ ۖ جَنَّتَانِ عَن يَمِينٍ وَشِمَالٍ ۖ كُلُوا مِن رِّزْقِ رَبِّكُمْ وَاشْكُرُوا لَهُ ۚ بَلْدَةٌ طَيِّبَةٌ وَرَبٌّ غَفُورٌ
[ سبأ: 15]

Hakika ilikuwapo Ishara kwa (watu wa nchi ya) Sabaa katika maskani yao - bustani mbili, kulia na kushoto. Kuleni katika riziki ya Mwenyezi Mungu, na mumshukuru. Mji mzuri na Mola Mlezi aliye Msamehevu.

Surah Saba in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


There was for [the tribe of] Saba' in their dwelling place a sign: two [fields of] gardens on the right and on the left. [They were told], "Eat from the provisions of your Lord and be grateful to Him. A good land [have you], and a forgiving Lord."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hakika ilikuwapo Ishara kwa (watu wa nchi ya) Sabaa katika maskani yao - bustani mbili, kulia na kushoto. Kuleni katika riziki ya Mwenyezi Mungu, na mumshukuru. Mji mzuri na Mola Mlezi aliye Msamehevu.


Ninaapa: Hakika katika watu wa Sabaa katika makaazi yao ya Yaman palikuwa na Ishara ya uweza wetu. Zilikuwako bustani mbili zilizo zunguka nchi yao, kulia na kushoto. Wakaambiwa: Kuleni katika riziki ya Mola wenu Mlezi, na mshukuru neema zake kwa kuzitumilia inavyo faa. Huu mji wenu ni mji mzuri, una vivuli na matunda. Na Mola wenu Mlezi ni Mwingi wa maghfira kwa anaye mshukuru.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 15 from Saba


Ayats from Quran in Swahili

  1. Walio takabari watawaambia wanyonge: Kwani sisi ndio tulio kuzuieni na uwongofu baada ya kukujieni? Bali
  2. Na tukafanya ndani yake mabustani ya mitende na mizabibu, na tukatimbua chemchem ndani yake,
  3. Na wanapo somewa Aya zetu zilizo wazi utaona chuki katika nyuso za walio kufuru. Hukaribia
  4. Hizi ni katika khabari za ghaibu tulizo kufunulia. Na hukuwa pamoja nao walipo azimia shauri
  5. Wanakuuliza khabarai ya miezi. Sema: Hiyo ni vipimo vya nyakati kwa ajili ya watu na
  6. Kwani? Hakika Mola wake Mlezi alikuwa akimwona!
  7. Ambao wanafanya ufisadi katika nchi, wala hawatengenezi.
  8. Je, hawajui kwamba Mwenyezi Mungu anajua siri zao na minong'ono yao, na kwamba Mwenyezi Mungu
  9. Na ukiwauliza; Nani aliye umba mbingu na ardhi na akafanya jua na mwezi kuti'ii amri
  10. Na katika watu yupo yule ambaye maneno yake kwa maisha ya kidunia hukufurahisha; naye humshuhudisha

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Saba with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Saba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Saba Complete with high quality
Surah Saba Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Saba Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Saba Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Saba Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Saba Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Saba Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Saba Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Saba Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Saba Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Saba Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Saba Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Saba Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Saba Al Hosary
Al Hosary
Surah Saba Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Saba Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, November 10, 2025

Please remember us in your sincere prayers