Surah Anfal aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anfal aya 28 in arabic text(The Spoils of War).
  
   

﴿وَاعْلَمُوا أَنَّمَا أَمْوَالُكُمْ وَأَوْلَادُكُمْ فِتْنَةٌ وَأَنَّ اللَّهَ عِندَهُ أَجْرٌ عَظِيمٌ﴾
[ الأنفال: 28]

Na jueni ya kwamba mali zenu na wana wenu ni Fitna (mtihani), na kwamba kwa Mwenyezi Mungu upo ujira mkubwa.

Surah Al-Anfal in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And know that your properties and your children are but a trial and that Allah has with Him a great reward.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na jueni ya kwamba mali zenu na wana wenu ni Fitna (mtihani), na kwamba kwa Mwenyezi Mungu upo ujira mkubwa.


Enyi Waumini, wenye kusadiki! Jueni kuwa fitna ya nafsi zenu inatokana na kupita mpaka katika mapenzi yenu kwa watoto wenu na mali yenu. Basi isiwe kupenda kwenu kuyapenda mali na wenenu yakazidi kuliko mapenzi ya Mwenyezi Mungu Mtukufu. Hayo yatakuharibieni mambo yenu. Na jueni kuwa malipo ya Mwenyezi Mungu yanakutosheni kuliko mali na watoto.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 28 from Anfal


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwa neema inayo toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru.
  2. Na tunaweka vifuniko juu ya nyoyo zao wasije wakaifahamu, na tunaweka kwenye masikio yao uziwi.
  3. Na amka usiku kwa ibada; ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. Huenda Mola wako
  4. Hakika wale walio amini na wakahama na wakapigania Njia ya Mwenyezi Mungu kwa mali yao
  5. (Mwenyezi Mungu) ambaye amekufanyieni hii ardhi kuwa kama tandiko, na mbingu kama paa, na akateremsha
  6. Na walisema: Kwa nini hakutuletea muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Je! Haikuwafikilia dalili wazi
  7. Sema: Mwenyezi Mungu hukuokoeni kutoka hayo, na kutoka kila mashaka, na kisha nyinyi mnamshirikisha!
  8. Wanaume wana sehemu katika wanayo yaacha wazazi na jamaa walio karibia. Na wanawake wanayo sehemu
  9. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yako na rehema yake, kundi moja
  10. Arrahmani, Mwingi wa Rehema, aliye tawala juu ya Kiti cha Enzi.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anfal with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anfal mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anfal Complete with high quality
Surah Anfal Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anfal Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anfal Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anfal Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anfal Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anfal Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anfal Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Anfal Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anfal Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anfal Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anfal Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anfal Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anfal Al Hosary
Al Hosary
Surah Anfal Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anfal Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, April 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers