Surah Nahl aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَفَمَن يَخْلُقُ كَمَن لَّا يَخْلُقُ ۗ أَفَلَا تَذَكَّرُونَ﴾
[ النحل: 17]
Ati anaye umba ni kama asiye umba? Basi hebu, hamkumbuki?
Surah An-Nahl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then is He who creates like one who does not create? So will you not be reminded?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ati anaye umba ni kama asiye umba? Basi hebu, hamkumbuki?
Hebu ni sawa kwa mwenye akili nzima baina ya Muweza na asiye weza, hata akamfanya Mwenye kuumba yote haya sawa na asiye weza kuumba kitu? Enyi washirikina! Hivyo hamzioni athari za uwezo wa Mwenyezi Mungu mkazingatia na mkamshukuru kwazo Mwenyezi Mungu?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka.
- Na tukawamiminia mvua. Basi tazama jinsi ulivyo kuwa mwisho wa wakosefu.
- Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
- Hakika walio igawa Dini yao na wakawa makundi makundi, huna ukhusiano nao wowote. Bila ya
- Mwenye kusaidia msaada mwema ana fungu lake katika hayo, na mwenye kusaidia msaada mwovu naye
- Hao ndio makafiri kweli. Na tumewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha.
- Hakika Sisi tumekutuma wewe kwa Haki, kuwa ni mbashiri na mwonyaji. Na hapana umma wowote
- (Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!
- Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,
- Sema: Sioni katika yale niliyo funuliwa mimi kitu kilicho harimishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers