Surah Sajdah aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Sajdah aya 16 in arabic text(The Prostration).
  
   

﴿تَتَجَافَىٰ جُنُوبُهُمْ عَنِ الْمَضَاجِعِ يَدْعُونَ رَبَّهُمْ خَوْفًا وَطَمَعًا وَمِمَّا رَزَقْنَاهُمْ يُنفِقُونَ﴾
[ السجدة: 16]

Mbavu zao zinaachana na vitanda kwa kumwomba Mola wao Mlezi kwa khofu na kutumaini, na hutoa kutokana na tulivyo waruzuku.

Surah As-Sajdah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They arise from [their] beds; they supplicate their Lord in fear and aspiration, and from what We have provided them, they spend.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mbavu zao zinaachana na vitanda kwa kumwomba Mola wao Mlezi kwa khofu na kutumaini, na hutoa kutokana na tulivyo waruzuku.


Mbavu zao zinabambatuka na vitanda vyao, yaani wanaacha usingizi wao, kwa kumwomba Mola wao Mlezi kwa kuikhofu ghadhabu yake, na kutumai rehema yake; na ambao kutokana na mali tuliyo wapa wanatoa kwa ajili ya mambo ya kheri.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 16 from Sajdah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akaambiwa: Ingia Peponi! Akasema: Laiti kuwa watu wangu wangeli jua
  2. Ni vyake viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujitosha
  3. Na nitakapo mkamilisha na kumpulizia roho inayo tokana nami, basi muangukieni kwa kumt'ii.
  4. Wakasema: Ewe Musa! Je! Utatupa wewe, au tutakuwa sisi wa kwanza kutupa?
  5. Sema: Hakika Mola wangu Mlezi humkunjulia riziki na humdhikisha amtakaye. Lakini watu wengi hawajui.
  6. Sema: Kwa hakika mimi Mola wangu Mlezi ameniongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka, Dini iliyo sawa
  7. Huo ndio mwendo wa Mwenyezi Mungu ulio kwisha pita zamani, wala hutapata mabadiliko katika mwendo
  8. Na hapana kinacho tuzuia kupeleka miujiza ila ni kuwa watu wa zamani waliikanusha. Na tuliwapa
  9. Na wale ambao wanapo tumia hawatumii kwa fujo wala hawafanyi ubakhili, bali wanakuwa katikati baina
  10. Watu wa Kitabu wanakutaka uwateremshia kitabu kutoka mbinguni. Na kwa hakika walikwisha mtaka Musa makubwa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Sajdah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Sajdah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sajdah Complete with high quality
Surah Sajdah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Sajdah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Sajdah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Sajdah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Sajdah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Sajdah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Sajdah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Sajdah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Sajdah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Sajdah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Sajdah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Sajdah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Sajdah Al Hosary
Al Hosary
Surah Sajdah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Sajdah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, September 17, 2024

Please remember us in your sincere prayers