Surah Shuara aya 72 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ هَلْ يَسْمَعُونَكُمْ إِذْ تَدْعُونَ﴾
[ الشعراء: 72]
Akasema: Je! Yanakusikieni mnapo yaita?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He said, "Do they hear you when you supplicate?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: Je! Yanakusikieni mnapo yaita?
Ibrahim akasema: Kwani yanasikia madua yenu? Au yanakuitikieni mnapo yaomba? Kwa hayo anakusudia kuwanabihisha upotovu wa mwendo wao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi yanayo tarajiwa kwenu mkitawala ndio mfisidi katika nchi na mwatupe jamaa zenu?
- Enyi watu wangu! Hakika haya maisha ya dunia ni starehe ipitayo tu, na hakika Akhera
- Na mbingu zitakapo pasuliwa,
- Na katika tulio waumba wako watu wanao ongoza kwa Haki, na kwayo wanafanya uadilifu.
- Je! Nyinyi mnawaingilia wanaume, na mnaikata njia? Na katika mikutano yenu mnafanya maovu? Basi haikuwa
- Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
- Ambao hawatoi Zaka na wanaikataa Akhera.
- Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
- Nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzuliya uwongo Mwenyezi Mungu, au anaye sema: Mimi nimeletewa
- Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers