Surah Shuara aya 168 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ إِنِّي لِعَمَلِكُم مِّنَ الْقَالِينَ﴾
[ الشعراء: 168]
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He said, "Indeed, I am, toward your deed, of those who detest [it].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
Luti akasema: Hakika mimi nakichukia mno hichi kitendo chenu, wala sitoacha kabisa kukipinga na kukikebehi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- (Baba) akasema: Ewe mwanangu! Usiwasimulie nduguzo ndoto yako, wasije wakakufanyia vitimbi. Hakika Shet'ani ni adui
- Zilizo tiwa alama kwa Mola wako Mlezi. Na haya hayako mbali na wenye kudhulumu wengineo.
- Nanyi mlitujia wapweke kama tulivyo kuumbeni mara ya kwanza. Na mkayaacha nyuma yenu yote tuliyo
- Na wanakuhimiza ulete adhabu, lakini Mwenyezi Mungu hatakwenda kinyume na ahadi yake kabisa. Na hakika
- Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
- Kwa hakika watu hawa wanapenda maisha ya kidunia, na wanaiacha nyuma yao siku nzito.
- Kisha akamsahilishia njia.
- Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
- Na Siku tutapo kusanya kutoka kila umma kundi katika wanao kadhibisha Ishara zetu, nao watagawanywa
- Hao hawawezi kushinda katika ardhi, wala hawana walinzi isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Watazidishiwa adhabu. Hawakuwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers