Surah Lail aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِي يُؤْتِي مَالَهُ يَتَزَكَّىٰ﴾
[ الليل: 18]
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
Surah Al-Layl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[He] who gives [from] his wealth to purify himself
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
Amabye hutoa mali yake wakati wa nafasi ili kujisafisha na uchafu wa ubakhili, na najsi ya uchoyo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?
- Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi wa kuliani?
- Basi tuliwapatiliza, tuka- wazamisha baharini kwa sababu walizikanusha Ishara zetu, na wakaghafilika nazo.
- Hakika nyinyi mnaabudu masanamu badala ya Mwenyezi Mungu, na mnazua uzushi. Hakika hao mnao waabudu
- Basi onjeni! Nasi hatutakuzidishieni ila adhabu!
- Na hakika yule mwanamke alimtamani, na Yusuf angeli mtamani lau kuwa hakuona ishara ya Mola
- Enyi mlio amini! Jilindeni nafsi zenu na ahali zenu na Moto ambao kuni zake ni
- Na utakapo yaona, utakuwa umeona neema na ufalme mkubwa.
- Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
- Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Lail with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Lail mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Lail Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



