Surah Lail aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِي يُؤْتِي مَالَهُ يَتَزَكَّىٰ﴾
[ الليل: 18]
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
Surah Al-Layl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[He] who gives [from] his wealth to purify himself
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
Amabye hutoa mali yake wakati wa nafasi ili kujisafisha na uchafu wa ubakhili, na najsi ya uchoyo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Bali tuliwastarehesha hawa na baba zao mpaka ikawafikia Haki na Mtume aliye bainisha.
- Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
- Na kaumu ya Nuhu hapo mbele. Hakika hao walikuwa watu wapotovu.
- Wakasema: Sisi tutamrairai baba yake; na bila ya shaka tutafanya hayo.
- Je! Mnaiona mbegu ya uzazi mnayo idondokeza?
- Sema: Je! Mnaniamrisha nimuabudu asiye kuwa Mwenyezi Mungu, enyi majaahili?
- Basi muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na Nuru tuliyo iteremsha. Na Mwenyezi Mungu anazo
- Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo..
- Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo mnavyo vifanya!
- Hakika hii ni kauli ya kupambanua.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Lail with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Lail mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Lail Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers