Surah Nisa aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاللَّهُ يُرِيدُ أَن يَتُوبَ عَلَيْكُمْ وَيُرِيدُ الَّذِينَ يَتَّبِعُونَ الشَّهَوَاتِ أَن تَمِيلُوا مَيْلًا عَظِيمًا﴾
[ النساء: 27]
Na Mwenyezi Mungu anataka kukurejezeni kwenye ut'iifu wake, na wanao taka kufuata matamanio wanataka mkengeuke makengeuko makubwa.
Surah An-Nisa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Allah wants to accept your repentance, but those who follow [their] passions want you to digress [into] a great deviation.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Mwenyezi Mungu anataka kukurejezeni kwenye utiifu wake, na wanao taka kufuata matamanio wanataka mkengeuke makengeuko makubwa.
Na Mwenyezi Mungu anataka mrejee katika utiifu wake, na wale wanao fuata ladha zao, na matamanio yao machafu, miongoni mwa makafiri na waasi, wanataka muwe mbali kabisa na njia ya haki.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ewe mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu?
- Basi alipo ufikia aliitwa kutoka ng'ambo ya bonde la kuliani katika eneo lilio barikiwa kutoka
- Na mageuko yako kati ya wanao sujudu.
- Watu wanakuuliza khabari ya Saa (ya Kiyama). Sema: Ujuzi wake uko kwa Mwenyezi Mungu. Na
- Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
- Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
- Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
- Ule Moto ukiwaona tangu mahali mbali wao watasikia hasira yake na mngurumo wake.
- Basi kuleni katika mlivyo teka, ni halali na vizuri, na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi
- Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nisa with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nisa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nisa Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



