Surah Shuara aya 155 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Shuara aya 155 in arabic text(The Poets).
  
   

﴿قَالَ هَٰذِهِ نَاقَةٌ لَّهَا شِرْبٌ وَلَكُمْ شِرْبُ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ﴾
[ الشعراء: 155]

Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu.

Surah Ash-Shuara in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


He said, "This is a she-camel. For her is a [time of] drink, and for you is a [time of] drink, [each] on a known day.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu.


Saleh akawaambia - alipo pewa na Mwenyezi Mungu ngamia jike kuwa ni muujiza wake: Huyu hapa ngamia jike wa Mwenyezi Mungu, amekutoleeni kuwa ni Ishara. Yeye ana sehemu yake ya maji katika siku moja; siku hiyo msinywe nyinyi. Na nyinyi mna sehemu yenu siku nyengine. Kunyweni siku hiyo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 155 from Shuara


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi Mwenyezi Mungu akikurudisha kwenye kikundi kimoja miongoni mwao - na wakakutaka idhini ya kutoka
  2. Na wachelee wale ambao lau kuwa na wao wangeli acha nyuma yao watoto wanyonge wangeli
  3. Mwenyezi Mungu anataka kukupunguzieni taabu, na mwanaadamu ameumbwa dhaifu.
  4. Na wakasema: Msiwaache miungu yenu, wala msimwache Wadda wala Suwaa' wala Yaghutha, wala Yau'qa, wala
  5. Hakika hao wanao kuita nawe uko nyuma ya vyumba, wengi wao hawana akili.
  6. Mwenyezi Mungu ni Mlinzi wa walio amini. Huwatoa gizani na kuwaingiza mwangazani. Lakini walio kufuru,
  7. Na anaye itaka Akhera, na akazifanyia juhudi a'mali zake, naye ni Muumini, basi hao juhudi
  8. Enyi mlio amini! Msizifuate nyayo za Shet'ani. Na atakaye fuata nyayo za Shet'ani basi yeye
  9. Na ndugu yangu Harun ni fasihi zaidi ulimi wake kuliko mimi. Basi mtume ende nami
  10. Na walikuwamo mjini watu tisa wakifanya ufisadi katika nchi wala hawafanyi la maslaha.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Surah Shuara Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Shuara Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Shuara Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Shuara Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Shuara Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Shuara Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Shuara Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Shuara Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Shuara Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Shuara Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Shuara Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Shuara Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Shuara Al Hosary
Al Hosary
Surah Shuara Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Shuara Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 13, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب