Surah Araf aya 183 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأُمْلِي لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِي مَتِينٌ﴾
[ الأعراف: 183]
Nami nitawapa muda. Hakika mpango wangu ni madhubuti.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And I will give them time. Indeed, my plan is firm.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Nami nitawapa muda. Hakika mpango wangu ni madhubuti.
Nitawakunjulia maisha, bila ya kuyapuuza maovu yao. Na mipango yangu niliyo wapangia ni ya nguvu na mikali juu yao, inalingana na madhambi yao yaliyo zidi kwa kupita kiasi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Watu wote walikuwa ni umma mmoja. Mwenyezi Mungu akapeleka Manabii wabashiri na waonyaji. Na pamoja
- Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -
- Siku tutapo waita kila kikundi cha watu kwa mujibu wa wakifuatacho - basi atakaye pewa
- Mbingu itapo chanika,
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
- Walio takabari watawaambia wanyonge: Kwani sisi ndio tulio kuzuieni na uwongofu baada ya kukujieni? Bali
- Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
- Hawangojei ila ukelele mmoja tu utakao wachukua nao wamo kuzozana.
- Ya kuwa leo hata masikini mmoja asikuingilieni.
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers