Surah Araf aya 183 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأُمْلِي لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِي مَتِينٌ﴾
[ الأعراف: 183]
Nami nitawapa muda. Hakika mpango wangu ni madhubuti.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And I will give them time. Indeed, my plan is firm.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Nami nitawapa muda. Hakika mpango wangu ni madhubuti.
Nitawakunjulia maisha, bila ya kuyapuuza maovu yao. Na mipango yangu niliyo wapangia ni ya nguvu na mikali juu yao, inalingana na madhambi yao yaliyo zidi kwa kupita kiasi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Waumini walipo yaona makundi, walisema: Haya ndiyo aliyo tuahidi Mwenyezi Mungu na Mtume wake.
- Mwenyezi Mungu ndiye aliye ifanya bahari ikutumikieni, ili humo zipite marikebu kwa amri yake, na
- Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.
- Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
- Hao ndio watakao pata sehemu yao kwa sababu ya yale waliyo yachuma. Na Mwenyezi Mungu
- (Firauni) akawaambia walio mzunguka: Hamsikilizi?
- Na pimeni kwa haki iliyo nyooka;
- Na wahukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao. Nawe tahadhari
- Na siku itapo simama Saa, siku hiyo watagawanyika.
- Wakasema: Sisi tutamrairai baba yake; na bila ya shaka tutafanya hayo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب