Surah Fatir aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا يَسْتَوِي الْأَعْمَىٰ وَالْبَصِيرُ﴾
[ فاطر: 19]
Na kipofu na mwenye kuona hawalingani.
Surah Fatir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Not equal are the blind and the seeing,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kipofu na mwenye kuona hawalingani.
Hawawezi kulingana wakawa sawa:- asiye hidika kuifuata Haki kwa ujinga wake na mwenye kufuata Njia ya uwongofu kwa ujuzi wake; wala uwongo na kweli; wala kivuli na upepo umoto
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mwenyezi Mungu huwatia imara wenye kuamini kwa kauli ya imara katika maisha ya dunia na
- Basi, ole wao wanao sali,
- Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu
- Na enyi watu wangu! Kwa nini mimi nakuiteni kwenye uwokofu, nanyi mnaniita kwenye Moto?
- Basi wakawakanusha, na wakawa miongoni mwa walio angamizwa.
- Sema: Ni ya nani ardhi na viliomo ndani yake, kama nyinyi mnajua?
- Na tukampa huruma itokayo kwetu, na utakaso, na akawa mchamungu.
- Kwani haikukujieni khabari ya walio kufuru kabla, wakaonja matokeo mabaya ya mambo yao? Na wao
- Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote.
- Na watakapo tupwa humo mahali dhiki, hali wamefungwa, wataomba wafe.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fatir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fatir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



