Surah Anam aya 86 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِسْمَاعِيلَ وَالْيَسَعَ وَيُونُسَ وَلُوطًا ۚ وَكُلًّا فَضَّلْنَا عَلَى الْعَالَمِينَ﴾
[ الأنعام: 86]
Na Ismail, na Al Yasaa, na Yunus, na Lut'. Na wote tuliwafadhilisha juu ya walimwengu wote.
Surah Al-Anam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Ishmael and Elisha and Jonah and Lot - and all [of them] We preferred over the worlds.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Ismail, na Al Yasaa, na Yunus, na Lut. Na wote tuliwafadhilisha juu ya walimwengu wote.
Na tuliwaahidi Ismail, na Alyasaa, na Yunus, na Lut; na tukawafadhilisha kila mmoja wa hawa wote kushinda walimwengu wote wa zama zao, kwa kuwapa uwongofu na Unabii.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mtaje katika Kitabu Ibrahim. Hakika yeye alikuwa mkweli, Nabii.
- Sema: Hakika Mola wangu Mlezi humkunjulia riziki na humdhikisha amtakaye. Lakini watu wengi hawajui.
- Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
- Na anaye tenda mema, naye ni Muumini, basi hatakhofu kudhulumiwa wala kupunjwa.
- Watasema: Ole wetu! Nani aliye tufufua kwenye malazi yetu? Haya ndiyo aliyo yaahidi Mwingi wa
- HAKIKA wamefanikiwa Waumini,
- Miji hiyo, tunakusimulia baadhi ya khabari zake. Na hapana shaka Mitume wao waliwafikia kwa hoja
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Ninusuru kwa sababu wananikanusha.
- Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
- Na walipo sema wanaafiki na wale wenye maradhi katika nyoyo zao: Mwenyezi Mungu na Mtume
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



