Surah Shuara aya 194 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿عَلَىٰ قَلْبِكَ لِتَكُونَ مِنَ الْمُنذِرِينَ﴾
[ الشعراء: 194]
Juu ya moyo wako, ili uwe katika Waonyaji,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Upon your heart, [O Muhammad] - that you may be of the warners -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Juu ya moyo wako, ili uwe katika Waonyaji,.
Juu ya moyo wako ulio tulia kuihifadhi na kuifahamu, na idhibitike katika moyo wako iwe madhubuti isisahaulike, ili upate kuwaonya wakhalifu kwa adhabu ziliomo ndani yake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.
- Ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.
- Na pindi tukimwonjesha rehema itokayo kwetu baada ya kumgusa dhara, bila ya shaka husema: Haya
- Ikiwa mnayo hila, nifanyieni hila Mimi!
- Wala haikuwa Ibrahim kumtakia msamaha baba yake ila kwa sababu wa ahadi aliyo fanya naye.
- Na mwenye kuuelekeza uso wake kwa Mwenyezi Mungu, naye akawa anafanya wema, basi huyo hakika
- Mwenye kutenda mema, mwanamume au mwanamke, naye akawa ni Muumini, tutamhuisha maisha mema; na tutawapa
- Ama wale walio kufuru, nitawaadhibu adhabu kali katika dunia na Akhera, wala hawatapata wa kuwanusuru.
- Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?
- Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



