Surah Hijr aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَإِذَا سَوَّيْتُهُ وَنَفَخْتُ فِيهِ مِن رُّوحِي فَقَعُوا لَهُ سَاجِدِينَ﴾
[ الحجر: 29]
Basi nitakapo mkamilisha na nikampulizia roho yangu, basi mumwangukie kumsujudia.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when I have proportioned him and breathed into him of My [created] soul, then fall down to him in prostration."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi nitakapo mkamilisha na nikampulizia roho yangu, basi mumwangukie kumsujudia.
Nikisha kamilisha kumuumba, na nikampulizia roho ambayo ninaimiliki, basi teremkeni kwa nyuso zenu mkimsujudia, kwa kumwamkia na kumhishimu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naapa kwa jua na mwangaza wake!
- Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.
- Na kwa mti huo mtajaza matumbo.
- Hakika kwa Mola wako Mlezi ndio marejeo.
- Hakika tumekuteremshia Ishara zilizo wazi na hapana wanao zikataa ila wapotovu.
- (Nao watasema:) Wala hatuteremki ila kwa amri ya Mola wako Mlezi. Ni yake Yeye yaliyoko
- Na ambao wanayaamini yaliyo teremshwa kwako, na yaliyo teremshwa kabla yako; na Akhera wana yakini
- Kwa hakika wale wasio iamini Akhera tumewapambia vitendo vyao, kwa hivyo wanatangatanga ovyo.
- A'yn Sin Qaf
- Hakika wanaafiki wanamkhadaa Mwenyezi Mungu, na hali ni Yeye ndiye mwenye kuwakhadaa wao. Na wanapo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



