Surah Adiyat aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَالْمُورِيَاتِ قَدْحًا﴾
[ العاديات: 2]
Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,
Surah Al-Adiyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the producers of sparks [when] striking
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,
Na kwa farasi hao ambao hutoa cheche za moto zinapo gonga kwato zao kwenye ardhi wanapo kwenda.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na nyuso siku hiyo zitakuwa na mavumbi,
- Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya
- Basi wasamehe, na uwambie maneno ya salama. Watakuja jua.
- Alisema: Mola wangu Mlezi anayajua yasemwayo mbinguni na katika ardhi. Na Yeye ni Mwenye kusikia
- Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.
- Je! Yupo mmoja wenu anaye penda kuwa na kitalu cha mitende na mizabibu ipitayo mito
- Yeye anakuamrisheni maovu na machafu, na mumsingizie Mwenyezi Mungu mambo msiyo yajua.
- Na kwa usiku unapo kucha!
- Na walipo sema wanaafiki, na wale wenye ugonjwa nyoyoni mwao: Watu hawa dini yao imewadanganya.
- Kwa tone la manii, akamuumba na akamkadiria.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Adiyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Adiyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Adiyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



