Surah Adiyat aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَالْمُغِيرَاتِ صُبْحًا﴾
[ العاديات: 3]
Wakishambulia wakati wa asubuhi,
Surah Al-Adiyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the chargers at dawn,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakishambulia wakati wa asubuhi,
Na kwa farasi hao wanao washambulia maadui asubuhi kabla jua halijachomoza;
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wakasema: Ewe mchawi! Tuombee kwa Mola wako Mlezi kwa ile ahadi aliyo kuahidi; hakika
- Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
- Wakasema: Ole wetu! Tulikuwa tumeikiuka mipaka!
- Hao wapo juu ya uwongofu utokao kwa Mola wao Mlezi, na hao ndio walio fanikiwa.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Aliye kuwa akinambia: Hivyo wewe ni katika wanao sadiki
- Je! Huu ni uchawi, au hamwoni tu?
- Atasema: Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka?
- Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.
- Na akasema mtu mmoja Muumini, aliye kuwa mmoja katika watu wa Firauni aliye ficha Imani
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Adiyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Adiyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Adiyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers