Surah Mursalat aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالْمُرْسَلَاتِ عُرْفًا﴾
[ المرسلات: 1]
Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
Surah Al-Mursalat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
By those [winds] sent forth in gusts
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
Naapa kwa Aya zilizo tumwa kwa ulimi wa Jibrili kumpelekea Muhammad kwa upole wa kawaida na kheri,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi watu wangu! Hakika haya maisha ya dunia ni starehe ipitayo tu, na hakika Akhera
- Basi walipo ingia kwa Yusuf walisema: Ewe Mheshimiwa! Imetupata shida, sisi na watu wetu. Na
- Na pale tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam. Wakamsujudia isipo kuwa Iblisi. Akasema: Je! Nimsujudie uliye
- Siku itapo geuzwa ardhi iwe ardhi nyengine, na mbingu pia. Nao watahudhuria mbele ya Mwenyezi
- Na wale ambao Ishara za Mola wao Mlezi wanaziamini,
- Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
- Na watapitishiwa vyombo vya fedha na vikombe vya vigae,
- Wanajadiliana nawe kwa jambo la Haki baada ya kwisha bainika, kama kwamba wanasukumwa kwenye mauti
- Na katika tulio waumba wako watu wanao ongoza kwa Haki, na kwayo wanafanya uadilifu.
- Wala sijui pengine huu ni mtihani tu kwenu na starehe mpaka muda kidogo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



