Surah Mursalat aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالْمُرْسَلَاتِ عُرْفًا﴾
[ المرسلات: 1]
Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
Surah Al-Mursalat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
By those [winds] sent forth in gusts
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
Naapa kwa Aya zilizo tumwa kwa ulimi wa Jibrili kumpelekea Muhammad kwa upole wa kawaida na kheri,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na mito.
- Na tuna nini hata tusimtegemee Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ametuongoa kwenye Njia zetu. Na
- Na tukitaka tunawazamisha, wala hapana wa kuwasaidia, wala hawaokolewi,
- Ile khabari kuu,
- Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata
- Basi kila mmoja tulimtesa kwa mujibu wa makosa yake. Kati yao wapo tulio wapelekea kimbunga
- Yenye moto wenye kuni nyingi,
- Siku atakapo kuiteni, na nyinyi mkamuitikia kwa kumshukuru, na mkadhani kuwa hamkukaa ila muda mdogo
- Na Yeye ndiye aliye kuhuisheni kisha akakufisheni, na kisha atakufufueni. Hakika mwanaadamu hana fadhila.
- Na pale Musa alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



