Surah Mursalat aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالْمُرْسَلَاتِ عُرْفًا﴾
[ المرسلات: 1]
Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
Surah Al-Mursalat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
By those [winds] sent forth in gusts
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
Naapa kwa Aya zilizo tumwa kwa ulimi wa Jibrili kumpelekea Muhammad kwa upole wa kawaida na kheri,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ili Mwenyezi Mungu ailipe kila nafsi kwa yale iliyo yachuma. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi
- Mwenzenu huyu hakupotea, wala hakukosea.
- Na wanasema: Lini ahadi hii, ikiwa mnasema kweli?
- Hakika Sisi tulimtuma Nuh'u kwa watu wake: Uwaonye kaumu yako kabla ya kuwafikia adhabu chungu.
- Hakika wanao muudhi Mwenyezi Mungu na Mtume wake, Mwenyezi Mungu amewalaani duniani na Akhera, na
- Mataifa mangapi tumeyaangamiza kabla yao, na wakapiga kelele, lakini wakati wa kuokoka ulikwisha pita.
- Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila
- Na walisema: Hatutakuamini mpaka ututimbulie chemchem katika ardhi hii.
- Mmehalalishiwa usiku wa Saumu kuingiliana na wake zenu. Wao ni vazi kwenu, na nyinyi ni
- Na lau kuwa walio dhulumu wangeli kuwa na vyote viliomo duniani na pamoja navyo vingine
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers