Surah Infitar aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿عَلِمَتْ نَفْسٌ مَّا قَدَّمَتْ وَأَخَّرَتْ﴾
[ الانفطار: 5]
Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma.
Surah Al-Infitar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
A soul will [then] know what it has put forth and kept back.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma.
Hapo basi kila nafsi itajua nini kheri au shari iliyo tanguliza na iliyo chelewesha.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ama wale walio amini na wakatenda mema basi Mwenyezi Mungu atawalipa ujira wao kaamili.
- Na nani mpotofu mkubwa kuliko hao wanao waomba, badala ya Mwenyezi Mungu, ambao hawatawaitikia mpaka
- Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.
- Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu.
- Enyi mlio amini! Akikujieni mpotovu na khabari yoyote, ichunguzeni, msije mkawasibu watu kwa kuto jua,
- Haya tunayo kusomea ni katika Aya na Ukumbusho wenye hikima.
- Lakini wao walisema: Hizo ni ndoto za ovyo ovyo, bali amezizua tu, bali huyo ni
- Mbele yangu haibadilishwi kauli, wala Mimi siwadhulumu waja wangu.
- Basi kwa haya waite! Nawe simama sawa sawa kama ulivyo amrishwa, wala usiyafuate matamanio yao.
- Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Infitar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Infitar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Infitar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



