Surah Ad Dukhaan aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فِيهَا يُفْرَقُ كُلُّ أَمْرٍ حَكِيمٍ﴾
[ الدخان: 4]
Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima,
Surah Ad-Dukhaan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
On that night is made distinct every precise matter -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima!
Katika usiku huu wenye baraka hupambanuliwa baina ya mambo yote yenye hikima, na Qurani ndio kilele cha hikima, na ndio pambanuo baina ya kweli na uwongo. Na kwa hivyo ndio ikateremshwa katika usiku huo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ni kama mfano wa Shetani anapo mwambia mtu: Kufuru. Na akikufuru humwambia: Mimi si pamoja
- Wakaja kwa baba yao usiku wakilia.
- Na tumefika kwako kwa Haki, na hakika sisi tunasema kweli.
- Na lau kuwa watu wa miji wangeli amini na wakamchamngu, kwa yakini tungeli wafungulia baraka
- Sema: Je! Nikwambieni yule ambaye ni mwenye malipo mabaya zaidi kuliko hayo mbele ya Mwenyezi
- Akasema: Mtalima miaka saba kwa juhudi. Mtacho vuna kiwacheni katika mashuke yake, isipo kuwa kidogo
- Na wakivunja viapo vyao baada ya kuahidi kwao, na wakatukana Dini yenu, basi piganeni na
- Kisha tutawaokoa wale walio mchamngu; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti.
- Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mlezi mkuu kabisa.
- Hakika kwa Mola wako Mlezi ndio marejeo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



