Surah Shuara aya 130 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِذَا بَطَشْتُم بَطَشْتُمْ جَبَّارِينَ﴾
[ الشعراء: 130]
Na mnapo tumia nguvu mnatumia nguvu kwa ujabari.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when you strike, you strike as tyrants.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mnapo tumia nguvu mnatumia nguvu kwa ujabari.
Na mnapo ingia kutesa, mnapita kiasi katika uasi na uvamizi wa jeuri, mnauwa, na mnapiga kwa chuki bila ya huruma.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri
- Na mtakapo wapa wanawake t'alaka nao wakamaliza eda yao, basi msiwazuie kuolewa na waume zao
- Kwa Firauni na waheshimiwa wake. Lakini wao walifuata amri ya Firauni, na amri ya Firauni
- Na enyi watu wangu! Hakika mimi nakukhofieni Siku ya mayowe.
- Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
- Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.
- Na hakika wao kwetu sisi ni wateuliwa walio bora.
- Kwa Mola wako Mlezi ndio mwisho wake.
- Na makhazina, na vyeo vya hishima,
- Nao husema: Angeli penda Mwingi wa Rehema tusingeli waabudu sisi. Hawana ujuzi wowote wa hayo!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers