Surah Al Qamar aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَتَوَلَّ عَنْهُمْ ۘ يَوْمَ يَدْعُ الدَّاعِ إِلَىٰ شَيْءٍ نُّكُرٍ﴾
[ القمر: 6]
Basi jiepushe nao. Siku atakapo ita mwitaji kuliendea jambo linalo chusha;
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So leave them, [O Muhammad]. The Day the Caller calls to something forbidding,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi jiepushe nao. Siku atakapo ita mwitaji kuliendea jambo linalo chusha; .
Ewe Muhammad! Waachilie mbali hawa makafiri, nawe ngojea siku atapoita mwitaji wa Mwenyezi Mungu kuitia jambo ambalo nafsi inalichukia mno!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika Mja wa Mwenyezi Mungu alipo simama kumwomba, wao walikuwa karibu kumzonga!
- Na wanakuuliza juu ya hedhi. Waambie, huo ni uchafu. Basi jitengeni na wanawake wakati wa
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Au tumewateremshia hoja ambayo kwayo ndio wanafanya ushirikina?
- Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kuikhofu.
- (Akaambiwa:) Piga-piga ardhi kwa mguu wako! Basi haya maji baridi ya kuogea na ya kunywa.
- Basi hao watapewa ujira wao mara mbili kwa walivyo vumilia, na wakaondoa ubaya kwa wema,
- Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilivyo baina yake. Basi muabudu Yeye tu, na
- Na Musa ilipo mtulia ghadhabu aliziokota zile mbao. Na katika maandiko yake mna uwongofu na
- Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



