Surah Taghabun aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Taghabun aya 12 in arabic text(The Cheating).
  
   

﴿وَأَطِيعُوا اللَّهَ وَأَطِيعُوا الرَّسُولَ ۚ فَإِن تَوَلَّيْتُمْ فَإِنَّمَا عَلَىٰ رَسُولِنَا الْبَلَاغُ الْمُبِينُ
[ التغابن: 12]

Na mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume. Mkigeuka, basi hakika juu ya Mtume wetu ni kufikisha (Ujumbe wake) kwa uwazi tu.

Surah At-Taghabun in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And obey Allah and obey the Messenger; but if you turn away - then upon Our Messenger is only [the duty of] clear notification.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na mtiini Mwenyezi Mungu, na mtiini Mtume. Mkigeuka, basi hakika juu ya Mtume wetu ni kufikisha (Ujumbe wake) kwa uwazi tu.


Na mtiini Mwenyezi Mungu kwa aliyo kuamrisheni, na mtiini Mtume kwa Ujumbe aliyo kufikishieni kutoka kwa Mola wake Mlezi. Mkiupuuza utiifu huu, basi Yeye hadhuriki kitu kwa mapuuza yenu. Na hakika Mtume wetu hana jukumu juu yake ila kufikisha Utume wake tu kwa uwazi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 12 from Taghabun


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa nyinyi ni wakweli?
  2. Na ikasemwa: Ewe ardhi! Meza maji yako. Na Ewe mbingu! Jizuie. Basi maji yakadidimia chini,
  3. Na mkifa au mkiuliwa ni kwa Mwenyezi Mungu ndio mtakusanywa.
  4. Kwa hakika watu hawa wanapenda maisha ya kidunia, na wanaiacha nyuma yao siku nzito.
  5. Na Malaika watakuwa pembezoni mwa mbingu; na wanane juu ya hawa watakuwa wamebeba Kiti cha
  6. Na Luqman alipo mwambia mwanawe kwa kumpa mawaidha: Ewe mwanangu! Usimshirikishe Mwenyezi Mungu. Kwani hakika
  7. Pale walipo sema: Hakika Yusuf na nduguye wanapendwa zaidi na baba yetu kuliko sisi, hali
  8. Na walio zikanusha Ishara zetu na mkutano wa Akhera a'mali zao zimeharibika. Kwani watalipwa ila
  9. Wala hawana toba wale wafanyao maovu mpaka yakamfikia mmoja wao mauti, kisha hapo akasema: Hakika
  10. Hakika tumekutuma wewe uwe Shahidi, na Mbashiri, na Mwonyaji,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Taghabun with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Taghabun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Taghabun Complete with high quality
Surah Taghabun Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Taghabun Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Taghabun Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Taghabun Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Taghabun Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Taghabun Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Taghabun Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Taghabun Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Taghabun Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Taghabun Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Taghabun Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Taghabun Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Taghabun Al Hosary
Al Hosary
Surah Taghabun Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Taghabun Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب