Surah Yasin aya 32 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِن كُلٌّ لَّمَّا جَمِيعٌ لَّدَيْنَا مُحْضَرُونَ﴾
[ يس: 32]
Na hapana mmoja ila wote watakusanywa waletwe mbele yetu.
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, all of them will yet be brought present before Us.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hapana mmoja ila wote watakusanywa waletwe mbele yetu.
Hapana katika mataifa yaliyo tangulia na yajayo ila wote watakusanywa mbele yetu, nao wamelazimishwa kuhudhuria mbele yetu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tukakuumbeni kwa jozi?
- Amemuumba mwanaadamu,
- Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka
- Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza
- Na wanasema: Kwa nini hakuteremshiwa Ishara kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Mambo ya ghaibu
- Wewe huna lako jambo katika haya - ama atawahurumia au atawaadhibu, kwani wao ni madhaalimu.
- Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.
- Basi alimwonyesha Ishara kubwa.
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
- Na tukakunyanyulia utajo wako?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers