Surah Nuh aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nuh aya 21 in arabic text(Noah).
  
   
ayat 21 from Surah Nuh

﴿قَالَ نُوحٌ رَّبِّ إِنَّهُمْ عَصَوْنِي وَاتَّبَعُوا مَن لَّمْ يَزِدْهُ مَالُهُ وَوَلَدُهُ إِلَّا خَسَارًا﴾
[ نوح: 21]

Nuh'u akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika hao wameniasi, na wamemfuata yule ambaye mali yake na wanawe hawakumzidishia ila khasara.

Surah Nuh in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Noah said, "My Lord, indeed they have disobeyed me and followed him whose wealth and children will not increase him except in loss.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


NuHu akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika hao wameniasi, na wamemfuata yule ambaye mali yake na wanawe hawakumzidishia ila khasara.


Alisema NuHu: Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikatalia mimi niliyo waamrisha ya kuamini na kutaka msamaha, na wakawafuata madhaifu miongoni mwao ambao mali yao na watoto wao hawawazidishii ila khasara tupu katika Akhera.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 21 from Nuh


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na walio kufuru watakuwa na Moto wa Jahannamu, hawahukumiwi wakafa, wala hawatapunguziwa adhabu yake. Hivyo
  2. Na wewe fuata yanayo funuliwa kwako kwa wahyi. Na vumilia mpaka Mwenyezi Mungu ahukumu, na
  3. Walio kufuru miongoni mwa watu wa Kitabu na washirikina hawapendi mteremshiwe kheri yoyote kutoka kwa
  4. Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi?
  5. (Wakiwaambia) Assalamu Alaikum! Amani iwe juu yenu, kwa sababu ya mlivyo subiri! Basi ni mema
  6. Zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande.
  7. Au amejichukulia watoto wanawake katika vile alivyo viumba, na akakuteulieni nyinyi watoto wanaume?
  8. Arrah'man, Mwingi wa Rehema
  9. Na kwa yakini tutawauliza wale walio pelekewa Ujumbe, na pia tutawauliza hao Wajumbe.
  10. Huambiwi ila yale yale waliyo ambiwa Mitume wa kabla yako. Hakika Mola wako Mlezi bila

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Surah Nuh Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nuh Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nuh Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nuh Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nuh Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nuh Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nuh Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Nuh Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nuh Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nuh Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nuh Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nuh Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nuh Al Hosary
Al Hosary
Surah Nuh Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nuh Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, August 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers