Surah Yunus aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yunus aya 42 in arabic text(Jonah).
  
   
ayat 42 from Surah Yunus

﴿وَمِنْهُم مَّن يَسْتَمِعُونَ إِلَيْكَ ۚ أَفَأَنتَ تُسْمِعُ الصُّمَّ وَلَوْ كَانُوا لَا يَعْقِلُونَ
[ يونس: 42]

Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza. Je, wewe unaweza kuwafanya viziwi wasikie ijapo kuwa hawafahamu?

Surah Yunus in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And among them are those who listen to you. But can you cause the deaf to hear, although they will not use reason?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza. Je, wewe unaweza kuwafanya viziwi wasikie ijapo kuwa hawafahamu?


Na katika hawa makafiri wapo wanao kusikiliza wewe, Mtume, pale unapo waita wafuate Dini ya Mwenyezi Mungu, na hali nyoyo zao zimefungwa hazikubali Wito wako. Basi wewe huwezi kuwafanya hawa viziwi wakusikie na waongoke. Na khasa ilivyo kuwa juu ya uziwi wao, hawafahamu uyasemayo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 42 from Yunus


Ayats from Quran in Swahili

  1. Msitoe udhuru; mmekwisha kufuru baada ya kuamini kwenu! Tukilisamehe kundi moja kati yenu, tutaliadhibu kundi
  2. Basi hawakuweza kuukwea, wala hawakuweza kuutoboa.
  3. Sema: Je! Mnaniamrisha nimuabudu asiye kuwa Mwenyezi Mungu, enyi majaahili?
  4. Wasomee khabari za Nuhu alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Ikiwa kukaa kwangu nanyi
  5. Na kama tungeli mfanya Malaika bila ya shaka tungeli mfanya kama binaadamu, na tungeli watilia
  6. Alisema: Mola wangu Mlezi anayajua yasemwayo mbinguni na katika ardhi. Na Yeye ni Mwenye kusikia
  7. Na kundi moja katika miongoni mwao lilipo sema: Enyi watu wa Yathrib! Hapana kukaa nyinyi!
  8. Enyi watu wangu! Huyu ngamia wa Mwenyezi Mungu ni Ishara kwenu. Basi mwacheni ale katika
  9. Na yale aliyo kuwa akiyaabudu badala ya Mwenyezi Mungu yalimzuilia. Hakika yeye (Malkia) alikuwa katika
  10. Na wapigie mfano wa watu wawili: mmoja wao tulimpa vitalu viwili vya mizabibu, na tukavizungushia

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Surah Yunus Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yunus Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yunus Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yunus Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yunus Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yunus Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yunus Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Yunus Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yunus Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yunus Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yunus Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yunus Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yunus Al Hosary
Al Hosary
Surah Yunus Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yunus Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, October 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers