Surah An Naba aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ جَهَنَّمَ كَانَتْ مِرْصَادًا﴾
[ النبأ: 21]
Hakika Jahannamu inangojea!
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, Hell has been lying in wait
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika Jahannamu inangojea!
Hakika Jahannamu imekuwa kama ni kitu kinacho ngojea, walinzi wake wanawangojea watu watakao kuja kuingia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Tubuni kwa Mwenyezi Mungu toba iliyo ya kweli! Asaa Mola wenu Mlezi
- Na hakika yeye kwetu Sisi ana cheo cha kukaribishwa kwetu, na pahala pazuri pa kurejea.
- Nasi twazigeuza nyoyo zao na macho yao. Kama walivyo kuwa hawakuamini mara ya kwanza, tunawaacha
- Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.
- Na siku atapo waita na akasema: Mliwajibu nini Mitume?
- Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
- Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.
- Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Wako juu ya viti wamekabiliana.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers