Surah Najm aya 30 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Najm aya 30 in arabic text(The Star).
  
   

﴿ذَٰلِكَ مَبْلَغُهُم مِّنَ الْعِلْمِ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ وَهُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اهْتَدَىٰ
[ النجم: 30]

Huo ndio mwisho wao wa ujuzi. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuipotea njia yake, na Yeye ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuongoka.

Surah An-Najm in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


That is their sum of knowledge. Indeed, your Lord is most knowing of who strays from His way, and He is most knowing of who is guided.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Huo ndio mwisho wao wa ujuzi. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuipotea njia yake, na Yeye ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuongoka.


Hayo wanayo yafuata katika itikadi zao, na vitendo vyao ndio ukomo walio yafikilia katika ilimu. Hakika Mola wako Mlezi anamjua vyema anaye shikilia upotovu, na anamjua vyema aliye elekea kupokea uwongofu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 30 from Najm


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akasema (kijana): Waona! Pale tulipo pumzika penye jabali basi mimi nilimsahau yule samaki. Na hapana
  2. Na miji mingapi iliyo vunja amri ya Mola wake Mlezi na Mitume wake, basi tuliihisabia
  3. Na ni nani mbora wa kusema kuliko aitaye kwa Mwenyezi Mungu na akatenda mema, na
  4. Basi ole wao wanao andika kitabu kwa mikono yao, kisha wakasema: Hiki kimetoka kwa Mwenyezi
  5. Hiyo ni fadhila itokayo kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kutosha.
  6. Na aliye otesha malisho,
  7. Hakika wanao amirisha misikiti ya Mwenyezi Mungu ni wale wanao muamini Mwenyezi Mungu, na Siku
  8. WATAKUTOLEENI UDHURU mtapo warudia. Sema: Msitoe udhuru; hatukuaminini. Mwenyezi Mungu amekwisha tueleza khabari zenu. Na
  9. Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi
  10. Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Surah Najm Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Najm Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Najm Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Najm Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Najm Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Najm Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Najm Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Najm Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Najm Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Najm Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Najm Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Najm Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Najm Al Hosary
Al Hosary
Surah Najm Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Najm Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, December 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers