Surah Najm aya 30 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Najm aya 30 in arabic text(The Star).
  
   

﴿ذَٰلِكَ مَبْلَغُهُم مِّنَ الْعِلْمِ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ وَهُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اهْتَدَىٰ
[ النجم: 30]

Huo ndio mwisho wao wa ujuzi. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuipotea njia yake, na Yeye ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuongoka.

Surah An-Najm in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


That is their sum of knowledge. Indeed, your Lord is most knowing of who strays from His way, and He is most knowing of who is guided.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Huo ndio mwisho wao wa ujuzi. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuipotea njia yake, na Yeye ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuongoka.


Hayo wanayo yafuata katika itikadi zao, na vitendo vyao ndio ukomo walio yafikilia katika ilimu. Hakika Mola wako Mlezi anamjua vyema anaye shikilia upotovu, na anamjua vyema aliye elekea kupokea uwongofu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 30 from Najm


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
  2. Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,
  3. Hakika walio kufuru lau wange kuwa na yote yaliyomo duniani, na mengine kama hayo, ili
  4. Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
  5. Na ikisemwa: Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni kweli, na Saa haina shaka, nyinyi mkisema:
  6. Basi khofu ilipo mwondoka Ibrahim, na ikawa ile bishara imemfikia, alianza kujadiliana nasi juu ya
  7. Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.
  8. Na mlipo sema: Ewe Musa! Hatutakuamini mpaka tumwone Mwenyezi Mungu waziwazi. Ikakunyakueni radi nanyi mnaangalia.
  9. Na siku atakapo waita na akasema: Wako wapi hao mlio kuwa mkidai kuwa ni washirika
  10. Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Surah Najm Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Najm Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Najm Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Najm Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Najm Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Najm Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Najm Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Najm Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Najm Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Najm Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Najm Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Najm Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Najm Al Hosary
Al Hosary
Surah Najm Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Najm Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 31, 2025

Please remember us in your sincere prayers