Surah An Naba aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَسُيِّرَتِ الْجِبَالُ فَكَانَتْ سَرَابًا﴾
[ النبأ: 20]
Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the mountains are removed and will be [but] a mirage.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.
Na milima itaondolewa baada ya kungolewa mwahala mwake, na kuvurugwa, ikawa unaiona kama sura ya milima na hali hiyo ni kifusi tu kilicho rindikwa, kama uonavyo mangati, sarabi, unaona kama sura ya maji nayo si maji.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa hakika Jahannamu ndiyo makaazi yake!
- Lakini imani yao haikuwa yenye kuwafaa kitu wakati ambao wamekwisha iona adhabu yetu. Huu ndio
- Ni wale ambao juhudi yao katika maisha ya dunia imepotea bure, nao wanadhani kwamba wanafanya
- Na akasema yule aliye amini: Enyi watu wangu! Hakika mimi nakukhofieni mfano wa siku za
- Na walio kufuru walisema: Je! Tukujuulisheni mtu anaye kuambieni kwamba mtakapo chambuliwa mapande mapande mtakuwa
- Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake, na tukampulizia humo kutoka roho yetu,
- Wakasema: Je, unastaajabia amri ya Mwenyezi Mungu? Rehema ya Mwenyezi Mungu na baraka zake ziko
- Au ni lipi hilo jeshi lenu la kukunusuruni badala ya Mwingi wa Rehema? Hakika makafiri
- Na ambao Sala zao wanazihifadhi -
- Basi na awaite wenzake!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers