Surah Shuara aya 214 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ﴾
[ الشعراء: 214]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And warn, [O Muhammad], your closest kindred.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
Watie khofu ya adhabu ya shirki na maasi walio karibu nawe katika jamaa zako.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- (Malaika) akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako Mlezi ili nikubashirie tunu ya
- Na bila ya shaka tuliwaweka vizuri sio kama tulivyo kuwekeni nyinyi; na tuliwapa masikio, na
- Na enyi watu wangu! Muombeni msamaha Mola wenu Mlezi, kisha mtubie kwake. Atakuleteeni mbingu zenye
- Na katika mbingu ziko riziki zenu na mliyo ahidiwa.
- Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?
- Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao
- Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim
- Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi
- Macho yao yatainama, fedheha itawafunika. Hiyo ndiyo Siku waliyo kuwa wakiahidiwa.
- Kwa manufaa yenu na mifugo yenu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers