Surah Al-Haqqah aya 45 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ﴾
[ الحاقة: 45]
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We would have seized him by the right hand;
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
Basi bila ya shaka tungeli mshika akitoe kama mtu anavyo mkamata mtu kwa mkono wa kulia akammaliza hapo hapo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na huwaje wakufanye wewe hakimu nao wanayo Taurati yenye hukumu za Mwenyezi Mungu? Kisha baada
- Ila wale walio subiri wakatenda mema. Hao watapata msamaha na ujira mkubwa.
- Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale
- Isipo kuwa Iblisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio sujudu.
- Na Mwenyezi Mungu angeli penda ange wafanya wote umma mmoja, lakini anamwingiza katika rehema yake
- Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo baina yake kwa mchezo.
- Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea.
- Basi tukamtolea fidia kwa dhabihu mtukufu.
- Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
- Na ikiwa kanzu yake imechanwa nyuma, basi mwanamke amesema uwongo, naye Yusuf ni katika wakweli.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers