Surah Al-Haqqah aya 45 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ﴾
[ الحاقة: 45]
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We would have seized him by the right hand;
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
Basi bila ya shaka tungeli mshika akitoe kama mtu anavyo mkamata mtu kwa mkono wa kulia akammaliza hapo hapo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ufalme wa mbingu na ardhi ni wake. Na mambo yote yanarejeshwa kwa Mwenyezi Mungu.
- Na tukawahukumia Wana wa Israili katika Kitabu kwamba: Hakika nyinyi mtafanya fisadi katika nchi mara
- Na wale ambao wanapo kumbushwa Ishara za Mola wao Mlezi hawajifanyi viziwi nazo, na vipofu.
- Ee Ole wangu! Laiti nisingeli mfanya fulani kuwa rafiki!
- Mwenyezi Mungu akasema: Basi umekwisha kuwa miongoni mwa walio pewa muhula,
- Huwaoni wanao fanya unaafiki wanawaambia ndugu zao walio kufuru katika Watu wa Kitabu: Mkitolewa na
- Wakaja kwa baba yao usiku wakilia.
- Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
- Na uelekeze uso wako kwenye Dini ya Kweli, wala usiwe katika washirikina.
- Na wamechukua miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili ati iwape nguvu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers