Surah Nahl aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nahl aya 22 in arabic text(The Bee).
  
   

﴿إِلَٰهُكُمْ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۚ فَالَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِالْآخِرَةِ قُلُوبُهُم مُّنكِرَةٌ وَهُم مُّسْتَكْبِرُونَ
[ النحل: 22]

Mungu wenu ni Mungu Mmoja. Lakini wasio iamini Akhera nyoyo zao zinakataa, nao wanajivuna.

Surah An-Nahl in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Your god is one God. But those who do not believe in the Hereafter - their hearts are disapproving, and they are arrogant.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mungu wenu ni Mungu Mmoja. Lakini wasio iamini Akhera nyoyo zao zinakataa, nao wanajivuna.


Na imekwisha wekwa wazi kwa kila dalili kwamba hakika Mungu wenu anaye pasa mumuabudu peke yake ni Mungu Mmoja ambaye hana mshirika wake. Na juu ya hayo wale wasio amini kufufuliwa na kuhisabiwa, nyoyo zao zinaukataa Upweke wake. Kiburi chao kinawazuia kufuata Haki na kuitii.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 22 from Nahl


Ayats from Quran in Swahili

  1. Mwenyezi Mungu atasema: Hii ndiyo Siku ambayo wasemao kweli utawafaa ukweli wao. Wao watapata Bustani
  2. Au unawaomba ujira? Lakini ujira wa Mola wako Mlezi ni bora, na Yeye ndiye Mbora
  3. Wakasema: Je! Umetujia ili ututenge mbali na miungu yetu? Basi tuletee hayo unayo tuahidi ikiwa
  4. Isipo kuwa atakaye tubu, na akaamini, na akatenda vitendo vyema. Basi hao Mwenyezi Mungu atayabadilisha
  5. Na Mayahudi tuliwaharimishia yale tuliyo kuhadithia zamani. Na Sisi hatukuwadhulumu, bali walikuwa wakijudhulumu wenyewe.
  6. Hakika Shet'ani ni adui yenu, basi mfanyeni kuwa ni adui. Kwani yeye analiita kundi lake
  7. Na kikundi katika Watu wa Kitabu walisema: Yaaminini yale waliyo teremshiwa wenye kuamini mwanzo wa
  8. Basi usiwe na shaka juu ya wanayo yaabudu hao. Hawaabudu ila kama walivyo abudu baba
  9. Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.
  10. Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kiburi.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Surah Nahl Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nahl Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nahl Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nahl Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nahl Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nahl Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nahl Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Nahl Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nahl Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nahl Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nahl Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nahl Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nahl Al Hosary
Al Hosary
Surah Nahl Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nahl Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 11, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب