Surah Al Isra aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿اقْرَأْ كِتَابَكَ كَفَىٰ بِنَفْسِكَ الْيَوْمَ عَلَيْكَ حَسِيبًا﴾
[ الإسراء: 14]
Ataambiwa: Soma kitabu chako! Nafsi yako inakutosha leo kukuhisabu.
Surah Al-Isra in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[It will be said], "Read your record. Sufficient is yourself against you this Day as accountant."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ataambiwa: Soma kitabu chako! Nafsi yako inakutosha leo kukuhisabu.
Ataambiwa: Soma kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, ijapo kuwa duniani alikuwa hajui kusoma. Soma kitabu cha amali zako. Hicho leo kinatosha kukuhisabia na kukudhibitia vitendo vyako.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Msile riba mkizidisha juu kwa juu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mpate
- Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.
- Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.
- Hakika tumekuhadharisheni adhabu iliyo karibu kufika; Siku ambayo mtu atakapo ona yaliyo tangulizwa na mikono
- Sema: Lau kuwa ninacho hicho mnacho kihimiza, ingeli kwisha katwa shauri baina yangu na nyinyi.
- Akasema: Mola wangu Mlezi anajua zaidi mnayo yatenda.
- Na hawakufarikiana ila baada ya kuwajia ilimu kwa sababu ya husuda iliyo kuwa baina yao.
- Na hakika tulimpa Musa Kitabu ili wapate kuongoka.
- Je! Mnayaona maji mnayo yanywa?
- Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? Na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



