Surah Al Imran aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Imran aya 22 in arabic text(The Family of Imraan).
  
   

﴿أُولَٰئِكَ الَّذِينَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ فِي الدُّنْيَا وَالْآخِرَةِ وَمَا لَهُم مِّن نَّاصِرِينَ﴾
[ آل عمران: 22]

Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika duniani na Akhera. Nao hawatapata wa kuwanusuru.

Surah Al Imran in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They are the ones whose deeds have become worthless in this world and the Hereafter, and for them there will be no helpers.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika duniani na Akhera. Nao hawatapata wa kuwanusuru.


Watu wenye sifa kama hizo, amali zao zimebatilika ijapo kuwa baadhi yake ni njema, na hazina matunda. Kwa hivyo haziwafai duniani, na mwisho wake ni hizaya na adhabu huko Akhera. Na wala hawana wa kuwaokoa na khasara na adhabu watayo ipata.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 22 from Al Imran


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
  2. Na kuleni katika alivyo kuruzukuni Mwenyezi Mungu, halali na vizuri. Na mcheni Mwenyezi Mungu ambaye
  3. Na tukamfundisha kuunda mavazi ya vita kwa ajili yenu ili yakuhifadhini katika kupigana kwenu. Je!
  4. Yeye humpa hikima amtakaye; na aliye pewa hikima bila ya shaka amepewa kheri nyingi. Na
  5. Hakika amekwisha kujieni Mtume kutokana na nyinyi wenyewe; yanamhuzunisha yanayo kutaabisheni; anakuhangaikieni sana. Kwa Waumini
  6. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani.
  7. Na ili awapambanue walio kuwa wanaafiki, wakaambiwa: Njooni mpigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu au
  8. (Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani.
  9. Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila
  10. Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakufutieni madhambi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Imran with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Imran mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Imran Complete with high quality
Surah Al Imran Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Imran Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Imran Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Imran Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Imran Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Imran Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Imran Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Imran Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Imran Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Imran Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Imran Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Imran Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Imran Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Imran Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Imran Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, July 17, 2025

Please remember us in your sincere prayers