Surah Anam aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالَّذِينَ كَذَّبُوا بِآيَاتِنَا يَمَسُّهُمُ الْعَذَابُ بِمَا كَانُوا يَفْسُقُونَ﴾
[ الأنعام: 49]
Na walio kanusha Ishara zetu itawagusa adhabu kwa walivyo kuwa wakipotoka.
Surah Al-Anam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But those who deny Our verses - the punishment will touch them for their defiant disobedience.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na walio kanusha Ishara zetu itawagusa adhabu kwa walivyo kuwa wakipotoka.
Na wale wanao zikanusha dalili zilio wazi za ukweli wa waliyo kuja nayo Mitume, watapata adhabu kwa kutoka kwao kwenye utiifu na Imani.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Siku atakapo wakusanya, itakuwa kama kwamba hawakukaa ila saa moja tu ya mchana! Watatambuana.
- Na akaja mtu mbio kutokea upande wa mbali wa mjini, akasema: Enyi watu wangu! Wafuateni
- Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo piga muhuri kwenye nyoyo za wasio jua.
- Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na tukaweka katika ardhi milima iliyo thibiti ili isiwayumbishe, na tukaweka humo njia pana ili
- Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?
- Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!
- (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
- Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



