Surah Rum aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Rum aya 24 in arabic text(Rome - Byzantium).
  
   
ayat 24 from Surah Ar-Rum

﴿وَمِنْ آيَاتِهِ يُرِيكُمُ الْبَرْقَ خَوْفًا وَطَمَعًا وَيُنَزِّلُ مِنَ السَّمَاءِ مَاءً فَيُحْيِي بِهِ الْأَرْضَ بَعْدَ مَوْتِهَا ۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِّقَوْمٍ يَعْقِلُونَ
[ الروم: 24]

Na katika Ishara zake hukuonyesheni umeme kwa kukutieni khofu na tamaa. Na hukuteremshieni maji kutoka mbinguni, na kwa hayo huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao zingatia.

Surah Ar-Rum in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And of His signs is [that] He shows you the lightning [causing] fear and aspiration, and He sends down rain from the sky by which He brings to life the earth after its lifelessness. Indeed in that are signs for a people who use reason.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na katika Ishara zake hukuonyesheni umeme kwa kukutieni khofu na tamaa. Na hukuteremshieni maji kutoka mbinguni, na kwa hayo huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao zingatia.


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 24 from Rum


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi akawaachilia mbali na akasema: Enyi kaumu yangu! Nimekufikishieni Ujumbe wa Mola Mlezi wangu, na
  2. Na alipo tangaza Mola wenu Mlezi: Mkishukuru nitakuzidishieni; na mkikufuru, basi adhabu yangu ni kali.
  3. Sema: Mwaonaje, ikiwa Mwenyezi Mungu atanihiliki mimi na walio pamoja nami, au akiturehemu, ni nani
  4. Na haya ni makumbusho yaliyo barikiwa, tuliyo yateremsha. Basi je! Mnayakataa?
  5. Kwa wafanyao wema ni wema na zaidi. Wala vumbi halitawafunika nyuso zao, wala madhila. Hao
  6. Na aliye tubu na akafanya mema, basi hakika huyo ametubu kweli kweli kwa Mwenyezi Mungu.
  7. Sema: Lau kuwa wangeli kuwa pamoja naye miungu mingine kama wasemavyo, basi wangeli tafuta njia
  8. Enyi mlio amini! Msiseme: "Raa'ina", na semeni: "Ndhurna". Na sikieni! Na makafiri watapata adhabu chungu.
  9. Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada
  10. Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Rum with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Rum mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Rum Complete with high quality
Surah Rum Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Rum Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Rum Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Rum Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Rum Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Rum Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Rum Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Rum Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Rum Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Rum Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Rum Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Rum Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Rum Al Hosary
Al Hosary
Surah Rum Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Rum Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 16, 2024

Please remember us in your sincere prayers