Surah Sad aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذْ عُرِضَ عَلَيْهِ بِالْعَشِيِّ الصَّافِنَاتُ الْجِيَادُ﴾
[ ص: 31]
Alipo pelekewa jioni farasi wasimamao kidete, tayari kutoka shoti;
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Mention] when there were exhibited before him in the afternoon the poised [standing] racehorses.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Alipo pelekewa jioni farasi wasimamao kidete, tayari kutoka shoti;
Na hebu taja katika khabari za Suleiman kuwa alipelekewa alasiri farasi wa asli ambao hutulia wanapo simama, na huenda mbio wanapo kwenda.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
- Na Mwenyezi Mungu ameteremsha maji kutoka mbinguni na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa
- Subhanahu Wa Taa'la, Ametakasika na Ametukuka juu kabisa na hayo wanayo yasema.
- Sema: Kweli imefika, na uwongo haujitokezi, wala haurudi.
- Ambao wanashika Sala, na wanatoa Zaka, na Akhera wana yakini nayo.
- Wala yasikuhuzunishe maneno yao. Hakika utukufu wote ni wa Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye Mwenye kusikia
- Na nyinyi mtakuwa namna tatu:-
- Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na
- Na kama ingeli kuwako Qur'ani ndiyo inayo endeshewa milima, na kupasuliwa ardhi, na kusemeshewa wafu,
- Hakika Sisi tumewaandalia makafiri minyororo na pingu na Moto mkali.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers