Surah Sad aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذْ عُرِضَ عَلَيْهِ بِالْعَشِيِّ الصَّافِنَاتُ الْجِيَادُ﴾
[ ص: 31]
Alipo pelekewa jioni farasi wasimamao kidete, tayari kutoka shoti;
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Mention] when there were exhibited before him in the afternoon the poised [standing] racehorses.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Alipo pelekewa jioni farasi wasimamao kidete, tayari kutoka shoti;
Na hebu taja katika khabari za Suleiman kuwa alipelekewa alasiri farasi wa asli ambao hutulia wanapo simama, na huenda mbio wanapo kwenda.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kina Thamud waliwakanusha Mitume.
- Na wale wanao sema: Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu ya Jahannamu. Hakika adhabu yake ikimpata
- Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa,
- Na si juu yako kama hakutakasika.
- Hakika Mola wako Mlezi humkunjulia riziki amtakaye, na humpimia amtakaye. Hakika Yeye kwa waja wake
- Sema: Basi Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye hoja ya kukata. Na kama angeli penda angeli kuhidini
- S'ad, Naapa kwa Qur'ani yenye mawaidha.
- Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
- Atasema: Nyinyi hamkukaa huko duniani ila kidogo, laiti ingeli kuwa mnajua.
- Au mimi si bora kuliko huyu aliye mnyonge, wala hawezi kusema waziwazi?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers