Surah Muhammad aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Muhammad aya 27 in arabic text(Muhammad).
  
   

﴿فَكَيْفَ إِذَا تَوَفَّتْهُمُ الْمَلَائِكَةُ يَضْرِبُونَ وُجُوهَهُمْ وَأَدْبَارَهُمْ﴾
[ محمد: 27]

Basi itakuwaje Malaika watakapo wafisha wakawa wanawapiga nyuso zao na migongo yao!

Surah Muhammad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Then how [will it be] when the angels take them in death, striking their faces and their backs?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi itakuwaje Malaika watakapo wafisha wakawa wanawapiga nyuso zao na migongo yao!


Hiyo ndiyo hali katika maisha ya duniani, basi watakuwa katika hali gani Malaika watapo wafisha huku wakiwapiga nyuso zao na migongo yao kwa kuwadhalilisha?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 27 from Muhammad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wanapo somewa wanasema: Tunaiamini. Hakika hii ni Haki inayo toka kwa Mola wetu Mlezi.
  2. Na kwa hakika walifanya vitimbi vyao, na vitimbi vyao anavijua Mwenyezi Mungu. Wala vitimbi vyao
  3. Macho yao yatainama, fedheha itawafunika. Hiyo ndiyo Siku waliyo kuwa wakiahidiwa.
  4. Na wabashirie Waumini ya kwamba wana fadhila kubwa inayo toka kwa Mwenyezi Mungu.
  5. Au amejichukulia watoto wanawake katika vile alivyo viumba, na akakuteulieni nyinyi watoto wanaume?
  6. (Kwa) wanao tubia, wanao abudu, wanao himidi, wanao kimbilia kheri, wanao rukuu, wanao sujudu, wanao
  7. Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura, kisha tukawaambia Malaika: Msujudieni Adam. Basi wakasujudu isipo kuwa
  8. Likiwafika jema wakisema: Haya ni haki yetu. Na likiwafika ovu husema: Musa na walio pamoja
  9. Hakika Mimi ndiye Mwenyezi Mungu. Hapana mungu ila Mimi tu. Basi niabudu Mimi, na ushike
  10. Na tulimuamrisha Musa kwa wahyi: Nenda na waja wangu wakati wa usiku. Kwa hakika mtafuatwa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Muhammad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Muhammad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muhammad Complete with high quality
Surah Muhammad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Muhammad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Muhammad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Muhammad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Muhammad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Muhammad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Muhammad Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Muhammad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Muhammad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Muhammad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Muhammad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Muhammad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Muhammad Al Hosary
Al Hosary
Surah Muhammad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Muhammad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, November 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers