Surah An Naba aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِلَّا حَمِيمًا وَغَسَّاقًا﴾
[ النبأ: 25]
Ila maji yamoto sana na usaha,
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Except scalding water and [foul] purulence -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ila maji yamoto sana na usaha,
Lakini watakunywa maji yalio pita ukomo kwa umoto wake, na usaha unao miminika kutokana na ngozi za watu wa Motoni.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Hakika Umepewa maombi yako, ewe Musa!
- Na wale walio kufuru na wakazikanusha Ishara zetu, hao ndio watu wa Motoni.
- (Musa) akasema: Basi ondoka! Na kwa yakini utakuwa katika maisha ukisema: Usiniguse. Na hakika una
- Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo
- Hawatazami kwa Muumini udugu wala ahadi; basi hao ndio warukao mipaka.
- Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika
- Basi Firauni akataka kuwafukuza katika nchi. Kwa hivyo tukamzamisha yeye na walio kuwa pamoja naye
- Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
- Enyi mlio amini! Mkiwaoa wanawake, Waumini, kisha mkawapa t'alaka kabla ya kuwagusa, basi hamna eda
- Basi ni raha, na manukato, na Bustani zenye neema.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers