Surah An Naba aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِلَّا حَمِيمًا وَغَسَّاقًا﴾
[ النبأ: 25]
Ila maji yamoto sana na usaha,
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Except scalding water and [foul] purulence -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ila maji yamoto sana na usaha,
Lakini watakunywa maji yalio pita ukomo kwa umoto wake, na usaha unao miminika kutokana na ngozi za watu wa Motoni.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Isipo kuwa Iblisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio sujudu.
- Wala Yeye haogopi matokeo yake.
- Wapi! Bila ya shaka zilikujia Ishara zangu, nawe ukazikadhibisha, na ukajivuna, na ukawa miongoni mwa
- Hakika Mwenyezi Mungu kakupeni Sharia ya kufungua viapo vyenu, na Mwenyezi Mungu ni Mola wenu.
- Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
- Na hapo zamani tuliagana na Adam, lakini alisahau, wala hatukuona kwake azma kubwa.
- Ama wale wa mashakani hao watakuwamo Motoni wakiyayayatika na kukoroma.
- Basi uelekeze uso wako sawasawa kwenye Dini - ndilo umbile la Mwenyezi Mungu alilo waumbia
- Na miji mingapi tuliiangamiza, ikaifikia adhabu yetu usiku au walipo kuwa wamelala adhuhuri.
- Na wewe hukuwa kabla yake unasoma kitabu chochote, wala hukukiandika kwa mkono wako wa kulia.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers