Surah An Naba aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah An Naba aya 24 in arabic text(The Great News).
  
   

﴿لَّا يَذُوقُونَ فِيهَا بَرْدًا وَلَا شَرَابًا﴾
[ النبأ: 24]

Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,

Surah An-Naba in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They will not taste therein [any] coolness or drink


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,


Hawataonja humo hata chembe ya upepo wa kuburudisha joto lake, wala kinywaji cha kupoza kiu chao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 24 from An Naba


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika wanao zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasipo haki, na wakawauwa watu
  2. Na walisema: Kwa nini Qur'ani hii haikuteremshwa kwa mtu mkubwa katika miji miwili hii?
  3. Na ninapo ugua ni Yeye ndiye anaye niponesha.
  4. Na tukawapa rehema zetu na tukawajaalia kupewa sifa za kweli tukufu.
  5. Na wengine walikiri dhambi zao, wakachanganya vitendo vyema na vingine viovu. Asaa Mwenyezi Mungu akapokea
  6. Fuata uliyo funuliwa kutoka kwa Mola wako Mlezi. Hapana mungu ila Yeye. Na jitenge na
  7. Akasema (Sulaiman): Tutatazama umesema kweli au wewe ni miongoni mwa waongo.
  8. Wala msiwaoe wake walio waoa baba zenu, ila yaliyo kwisha pita. Hakika huo ni uchafu
  9. Na Wallahi! Nitayafanyia vitimbi masanamu yenu haya baada ya mkisha geuka kwenda zenu.
  10. Na wakisema: Hata ukituletea Ishara yoyote kutuzuga hatuto kuamini.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Surah An Naba Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah An Naba Bandar Balila
Bandar Balila
Surah An Naba Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah An Naba Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah An Naba Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah An Naba Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah An Naba Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah An Naba Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah An Naba Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah An Naba Fares Abbad
Fares Abbad
Surah An Naba Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah An Naba Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah An Naba Al Hosary
Al Hosary
Surah An Naba Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah An Naba Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers