Surah An Naba aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَّا يَذُوقُونَ فِيهَا بَرْدًا وَلَا شَرَابًا﴾
[ النبأ: 24]
Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will not taste therein [any] coolness or drink
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,
Hawataonja humo hata chembe ya upepo wa kuburudisha joto lake, wala kinywaji cha kupoza kiu chao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mtaje Maryamu katika Kitabu, pale alipo jitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki;
- Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- Mfano wa hali ya watu wa Nuhu na A'di na Thamudi na wale wa baada
- Na hatukuuangamiza mji wowote ule ila ulikuwa na muda wake maalumu.
- Siku itapo wafunika adhabu hiyo kutoka juu yao na chini ya miguu yao, na atasema:
- Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?
- Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
- Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?
- Wanaafiki wanaogopa isije teremshwa Sura itakayo watajia yaliyomo katika nyoyo zao. Sema: Fanyeni mzaha! Hakika
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers