Surah An Naba aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَّا يَذُوقُونَ فِيهَا بَرْدًا وَلَا شَرَابًا﴾
[ النبأ: 24]
Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will not taste therein [any] coolness or drink
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,
Hawataonja humo hata chembe ya upepo wa kuburudisha joto lake, wala kinywaji cha kupoza kiu chao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa.
- Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa?
- Isipo kuwa yule atakaye ingia Motoni.
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
- Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba,
- Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
- Na hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye fadhila kwa watu, lakini wengi wao hawashukuru.
- Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni
- Ati aliye lelewa katika mapambo, na katika mabishano hawezi kusema kwa bayana...?
- Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



