Surah Fatir aya 26 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ أَخَذْتُ الَّذِينَ كَفَرُوا ۖ فَكَيْفَ كَانَ نَكِيرِ﴾
[ فاطر: 26]
Kisha nikawakamata walio kufuru. Basi kuchukia kwangu kulikuwaje?
Surah Fatir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then I seized the ones who disbelieved, and how [terrible] was My reproach.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha nikawakamata walio kufuru. Basi kuchukia kwangu kulikuwaje?
Kisha nikawashika walio kufuru kwa mshiko mkali. Basi hebu angalia kulikuwaje kuchukia kwangu kwa vitendo vyao, na ghadhabu yangu juu yao!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Juu ya Njia Iliyo Nyooka.
- Basi hawataweza kuusia, wala kwa watu wao hawarejei.
- Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu!
- Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
- Na mwezi tumeupimia vituo, mpaka unakuwa kama karara kongwe.
- Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume.
- Hakikuacha hicho kuwa kilio chao mpaka tukawafanya kama walio fyekwa, wamezimika.
- Hasha! Usimt'ii! Nawe sujudu na ujongee!
- Na Mwenyezi Mungu ndiye mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Humsamehe amtakaye, na humuadhibu amtakaye.
- Nenda kwa Firauni; kwani hakika yeye amepindukia mipaka.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fatir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fatir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



