Surah Fatir aya 26 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ أَخَذْتُ الَّذِينَ كَفَرُوا ۖ فَكَيْفَ كَانَ نَكِيرِ﴾
[ فاطر: 26]
Kisha nikawakamata walio kufuru. Basi kuchukia kwangu kulikuwaje?
Surah Fatir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then I seized the ones who disbelieved, and how [terrible] was My reproach.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha nikawakamata walio kufuru. Basi kuchukia kwangu kulikuwaje?
Kisha nikawashika walio kufuru kwa mshiko mkali. Basi hebu angalia kulikuwaje kuchukia kwangu kwa vitendo vyao, na ghadhabu yangu juu yao!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima,
- Na kila kilichomo mbinguni na kilichomo ardhini ni cha Mwenyezi Mungu; na mambo yote yatarejea
- Na Firauni mwenye vigingi?
- Basi mnakwenda wapi?
- Musa akasema: Hayo yamekwisha kuwa baina yangu na wewe. Muda mmojapo nikiumaliza sitiwi ubayani. Na
- Ili tuyafanye hayo kuwa ni waadhi kwenu na kila sikio linalo sikia liyahifadhi.
- Na hakika bila ya shaka wapo walinzi juu yenu,
- Basi ameangamia! Vipi alivyo pima!
- Macho yao yatainama; watatoka makaburini kama nzige walio tawanyika,
- Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fatir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fatir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



