Surah Maarij aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Maarij aya 27 in arabic text(The Ways of Ascent).
  
   

﴿وَالَّذِينَ هُم مِّنْ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ﴾
[ المعارج: 27]

Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.

Surah Al-Maarij in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And those who are fearful of the punishment of their Lord -


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.


Na wale wanao iogopa adhabu ya Mola wao Mlezi basi wanajikinga nayo wala hawajitii katika jambo la kuwaletea adhabu hiyo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 27 from Maarij


Ayats from Quran in Swahili

  1. Au hao wana miungu ya kishirikina walio watungia dini asiyo itolea idhini Mwenyezi Mungu? Na
  2. (Mwenyezi Mungu) akasema: Sisi tumewatia mtihani watu wako baada yako, na Msamaria amewapoteza.
  3. Kwa makafiri haitakuwa nyepesi.
  4. Wala hawatakuletea mfano wowote, ila na Sisi tutakuletea (jawabu) kwa haki, na tafsiri iliyo bora.
  5. Wakasema: Hizi ni ndoto zilizo paraganyika, wala sisi sio wenye kujua tafsiri ya ndoto hizi.
  6. Na kabla yake kilikuwapo Kitabu cha Musa, kuwa chenye uwongozi na rehema. Na hichi ni
  7. Watayapata humo wayatakayo daima dawamu. Hii ni ahadi juu ya Mola wako Mlezi, inayo ombwa.
  8. Wamepigwa na udhalili popote wanapo kutikana, isipo kuwa wakishika kamba ya Mwenyezi Mungu na kamba
  9. Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
  10. Je, mnastaajabu kukujieni mawaidha yanayotoka kwa Mola Mlezi wenu kwa njia ya mtu aliye ni

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Surah Maarij Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Maarij Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Maarij Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Maarij Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Maarij Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Maarij Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Maarij Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Maarij Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Maarij Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Maarij Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Maarij Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Maarij Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Maarij Al Hosary
Al Hosary
Surah Maarij Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Maarij Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, February 23, 2026

Please remember us in your sincere prayers