Surah Ibrahim aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ibrahim aya 28 in arabic text(Abraham).
  
   

﴿۞ أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ بَدَّلُوا نِعْمَتَ اللَّهِ كُفْرًا وَأَحَلُّوا قَوْمَهُمْ دَارَ الْبَوَارِ﴾
[ إبراهيم: 28]

Hebu hukuwaona wale walio badilisha neema ya Mwenyezi Mungu kwa kufuru, na wakawafikisha watu wao kwenye nyumba ya maangamizo?

Surah Ibrahim in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Have you not considered those who exchanged the favor of Allah for disbelief and settled their people [in] the home of ruin?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hebu hukuwaona wale walio badilisha neema ya Mwenyezi Mungu kwa kufuru, na wakawafikisha watu wao kwenye nyumba ya maangamizo?


Ewe msikilizaji! Hebu huwaangalii hao washirikina ambao, badala ya kushukuru neema ya Mwenyezi Mungu ya kumleta Muhammad na Dini yake, wakaingia kumkataa Mwenyezi Mungu Mtukufu, na wakawasabibisha wafwasi wao kutumbukia katika nyumba ya hilaki kwa upotovu wao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 28 from Ibrahim


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wala msiwauwe wana wenu kwa kuogopa umasikini. Sisi tunawaruzuku wao na nyinyi. Hakika kuwaua hao
  2. Au wanasema: Amekizua? Bali hichi ni Kweli iliyo toka kwa Mola wako Mlezi ili uwaonye
  3. Wala wasidhanie wale walio kufuru kwamba wao wametangulia mbele. La, wao hawatashinda.
  4. Na usipo waletea Ishara waitakayo husema: Kwa nini hukuibuni? Sema: mimi ninafuata yanayo funuliwa kwangu
  5. Akasema: Nikikuuliza kitu chochote baada ya haya usifuatane nami, kwani umekwisha pata udhuru kwangu.
  6. Je! Hawaoni kwamba tumewaumbia kutokana na iliyo fanya mikono yetu wanyama wa mifugo, na wao
  7. Au utuangushie mbingu vipande vipande kama ulivyo dai; au utuletee Mwenyezi Mungu na Malaika uso
  8. Na enyi watu wangu! Ni nani atakaye nisaidia kwa Mwenyezi Mungu nikiwafukuza hawa? Basi je,
  9. Na ambao wameamini na wakatenda mema, bila ya shaka tutawaweka katika maghorofa ya Peponi yenye
  10. Hiyo ndiyo Pepo tutayo warithisha katika waja wetu walio kuwa wachamngu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ibrahim with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ibrahim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ibrahim Complete with high quality
Surah Ibrahim Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ibrahim Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ibrahim Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ibrahim Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ibrahim Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ibrahim Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ibrahim Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Ibrahim Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ibrahim Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ibrahim Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ibrahim Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ibrahim Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ibrahim Al Hosary
Al Hosary
Surah Ibrahim Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ibrahim Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, February 22, 2025

Please remember us in your sincere prayers