Surah Ibrahim aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿جَهَنَّمَ يَصْلَوْنَهَا ۖ وَبِئْسَ الْقَرَارُ﴾
[ إبراهيم: 29]
Nayo ni Jahannamu! Maovu yaliyoje makaazi hayo!
Surah Ibrahim in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[It is] Hell, which they will [enter to] burn, and wretched is the settlement.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Nayo ni Jahannamu! Wataingia, Maovu yaliyoje makaazi hayo!
Na nyumba hiyo ndiyo Jahannamu wakiteswa kwa uvukuto wake. Na makaazi maovu mno ni Jahannamu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,
- Je! Mnajenga juu ya kila mnyanyuko kumbusho la kufanyia upuuzi?
- Wakasema: Ukorofi wenu mnao wenyewe! Je! Ni kwa kuwa mnakumbushwa? Ama nyinyi ni watu walio
- Na watu wa kushotoni; je ni yepi ya wa kushotoni?
- Na mtaje katika Kitabu Ismail. Bila ya shaka yeye alikuwa ni mkweli wa ahadi, na
- Tulipo mwokoa yeye na ahali zake wote,
- Basi waache mpaka wakutane na siku yao watakapo hilikishwa.
- Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa
- Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
- Mwenyezi Mungu ni Mpole kwa waja wake. Humruzuku ampendaye. Naye ni Mwenye nguvu, Mtukufu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ibrahim with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ibrahim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ibrahim Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



