Surah Naml aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَتْ يَا أَيُّهَا الْمَلَأُ إِنِّي أُلْقِيَ إِلَيَّ كِتَابٌ كَرِيمٌ﴾
[ النمل: 29]
(Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
Surah An-Naml in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
She said, "O eminent ones, indeed, to me has been delivered a noble letter.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
(Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
Barua ikamfikia yule Malkia, naye basi akawakusanya wahishimiwa wa kaumu yake, na halmashauri wake. Naye akasema: Enyi wahishimiwa! Mimi hakika imenifikilia barua yenye shani kuu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Sikukwambia hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami?
- (Wakieneza): Hakika hawa ni kikundi kidogo.
- Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
- Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye
- Na itapo simama Saa wakosefu watakata tamaa.
- Hakina madhara, wala hakiwaleweshi.
- Hao, makaazi yao ni Motoni kwa sababu ya waliyo kuwa wakiyachuma.
- Basi akatoka, naye ana khofu, akiangalia huku na huku. Akasema: Mola wangu Mlezi! Niokoe na
- Inakaribia kupasuka kwa hasira. Kila mara likitupwa kundi humo walinzi wake huwauliza: Kwani hakukujieni mwonyaji?
- Nao wanatuudhi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب