Surah Naml aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَتْ يَا أَيُّهَا الْمَلَأُ إِنِّي أُلْقِيَ إِلَيَّ كِتَابٌ كَرِيمٌ﴾
[ النمل: 29]
(Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
Surah An-Naml in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
She said, "O eminent ones, indeed, to me has been delivered a noble letter.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
(Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
Barua ikamfikia yule Malkia, naye basi akawakusanya wahishimiwa wa kaumu yake, na halmashauri wake. Naye akasema: Enyi wahishimiwa! Mimi hakika imenifikilia barua yenye shani kuu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Watadumu humo. Hawata-punguziwa adhabu wala hawatapewa muda wa kupumzika.
- Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?
- Huoni kuwa Mwenyezi Mungu ameziumba mbingu na ardhi kwa Haki? Akitaka atakuondoeni na alete viumbe
- Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
- Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
- Kila wakitaka kutoka humo kwa sababu ya uchungu watarudishwa humo humo, na wataambiwa: Onjeni adhabu
- Enyi mlio amini! Hakika washirikina ni najsi, kwa hivyo wasiukaribie Msikiti Mtakatifu baada ya mwaka
- Kina A'd waliwakanusha Mitume.
- Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!
- Mabedui wamesema: Tumeamini. Sema: Hamjaamini, lakini semeni: Tumesilimu. Kwani Imani haijaingia katika nyoyo zenu. Na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



