Surah Naml aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَتْ يَا أَيُّهَا الْمَلَأُ إِنِّي أُلْقِيَ إِلَيَّ كِتَابٌ كَرِيمٌ﴾
[ النمل: 29]
(Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
Surah An-Naml in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
She said, "O eminent ones, indeed, to me has been delivered a noble letter.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
(Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
Barua ikamfikia yule Malkia, naye basi akawakusanya wahishimiwa wa kaumu yake, na halmashauri wake. Naye akasema: Enyi wahishimiwa! Mimi hakika imenifikilia barua yenye shani kuu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
- Hakika katika kukhitalifiana usiku na mchana, na katika alivyo umba Mwenyezi Mungu katika mbingu na
- Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
- Na majeshi ya Ibilisi yote.
- Na fuata uliyo funuliwa kwa wahyi kutokana na Mola wako Mlezi. Hakika Mwenyezi Mungu anazo
- Na tulimpa Luqman hikima, tukamwambia: Mshukuru Mwenyezi Mungu. Na mwenye kushukuru basi hakika anashukuru kwa
- Na Mayahudi tuliwaharimishia yale tuliyo kuhadithia zamani. Na Sisi hatukuwadhulumu, bali walikuwa wakijudhulumu wenyewe.
- Walipo kata tamaa naye wakenda kando kunong'ona. Mkubwa wao akasema: Je! Hamjui ya kwamba baba
- Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
- Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama kwamba wanakimbilia mfundo,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



