Surah Fatiha aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ﴾
[ الفاتحة: 3]
Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
Surah Al-Fatihah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The Entirely Merciful, the Especially Merciful,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
Na Yeye ndiye Mwenye rehema ya kudumu, na rehema inatokana naye. Ananeemesha kwa neema zote ndogo na kubwa. (Arrahman ni jina lake Mwenyezi Mungu tu, na hafai mtu kuitwa hivyo.)
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akamfunulia mja wake (Mwenyezi Mungu) alicho mfunulia.
- Basi akayavunja vipande vipande, ila kubwa lao, ili wao walirudie.
- Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.
- Na mkijitenga nao na vile wanavyo viabudu badala ya Mwenyezi Mungu, basi kimbilieni pangoni, akufungulieni
- Mwenye kutenda uovu hatalipwa ila sawa na huo uwovu wake, na anaye tenda wema, akiwa
- Na Mwenyezi Mungu anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza.
- Na ama atakaye pewa daftari lake kwa nyuma ya mgongo wake,
- Basi litapo pulizwa barugumu,
- Basi mpe jamaa haki yake, na masikini, na msafiri. Hayo ni kheri kwa watakao radhi
- Na inapo mgusa kheri huizuilia.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fatiha with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fatiha mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatiha Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers