Surah Fatiha aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fatiha aya 2 in arabic text(The Opening).
  
   

﴿الْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ﴾
[ الفاتحة: 2]

Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;

Surah Al-Fatihah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[All] praise is [due] to Allah, Lord of the worlds -


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sifa njema zote ni za Mwenyeezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;


Sifa njema za namna yote na katika kila hali ni za Mwenyezi Mungu pekee. Na tunamsifu Yeye kwa sifa zote kwa sababu Yeye ndiye mwenye kuviumba viumbe vyote na mwenye kuviangalia na kuvilea. (Neno Rabb, kwa Kiarabu, lina maana ya Ubwana na Ulezi na Utengenezaji. Ndiyo tukatumia Mola Mlezi. Neno Baba lina upungufu.)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 2 from Fatiha


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ni nyinyi mlio uumba mti wake au Sisi ndio Waumbaji?
  2. Kwa nini wasinyenyekee ilipo wafika adhabu yetu? Lakini nyoyo zao zilikuwa ngumu, na Shet'ani akawapambia
  3. Tulimfunulia mama yake Musa kwa kumwambia: Mnyonyeshe. Na utakapo mkhofia basi mtie mtoni, na usikhofu
  4. Na hawamsujudii Mwenyezi Mungu ambaye huyatoa yaliyo fichikana katika mbingu na ardhi, na anayajua mnayo
  5. Amekuharimishieni nyamafu tu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa kwa ajili
  6. Na ukelele uliwaangamiza wale walio dhulumu, wakapambazukiwa nao ni maiti majumbani mwao.
  7. Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
  8. Ila mkewe. Tunakadiria huyo atakuwa miongoni watao bakia nyuma.
  9. Itasemwa: Ingieni milango ya Jahannamu mdumu humo. Basi nayo ni ubaya ulioje wa makaazi ya
  10. Hautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwisha andikwa katika Kitabu kabla hatujauumba.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fatiha with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fatiha mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatiha Complete with high quality
Surah Fatiha Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fatiha Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fatiha Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fatiha Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fatiha Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fatiha Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fatiha Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Fatiha Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fatiha Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fatiha Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fatiha Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fatiha Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fatiha Al Hosary
Al Hosary
Surah Fatiha Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fatiha Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, March 15, 2026

Please remember us in your sincere prayers