Surah Al Qamar aya 32 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Qamar aya 32 in arabic text(The Moon).
  
   

﴿وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ﴾
[ القمر: 32]

Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kwa kukumbuka, lakini yupo akumbukaye?

Surah Al-Qamar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We have certainly made the Qur'an easy for remembrance, so is there any who will remember?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qurani iwe nyepesi kwa kukumbuka, lakini yupo akumbukaye?


Na bila ya shaka Sisi tumeisahilisha Qurani iwe nyepesi kwa ajili ya mawaidha na kuzingatia. Lakini je, yupo wa kuwaidhika?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 32 from Al Qamar


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hawakumuadhimisha Mwenyezi Mungu anavyo stahiki kuadhimishwa. Hakika Mwenyezi Mungu bila ya shaka ni Mwenye kushinda.
  2. Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya siku hiyo kwa kuwatoa
  3. Wale ambao watakao kusanywa na kubururwa kifudifudi mpaka kwenye Jahannamu, hao watakuwa na mahali pabaya,
  4. Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
  5. Na Mayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndiyo iliyo fumba, na wamelaaniwa
  6. Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika.
  7. Je! Hawaoni ya kwamba tunayapeleka maji kwenye ardhi kavu, kisha kwayo tunaitoa mimea wanayo kula
  8. Na hawa hawangojei ila ukelele mmoja tu usio na muda.
  9. Tazama jinsi wanavyo jisemea uwongo wenyewe. Na yamewapotea waliyo kuwa wakiyazua.
  10. Basi akawatokea watu wake kutoka mihirabuni. Akawaashiria: Msabihini Mwenyezi Mungu asubuhi na jioni.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Surah Al Qamar Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Qamar Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Qamar Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Qamar Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Qamar Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Qamar Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Qamar Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Qamar Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Qamar Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Qamar Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Qamar Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Qamar Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Qamar Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Qamar Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Qamar Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, November 14, 2025

Please remember us in your sincere prayers