Surah Naml aya 35 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنِّي مُرْسِلَةٌ إِلَيْهِم بِهَدِيَّةٍ فَنَاظِرَةٌ بِمَ يَرْجِعُ الْمُرْسَلُونَ﴾
[ النمل: 35]
Lakini mimi nitawapelekea zawadi, nami nitangoja watakayo rudi nayo wajumbe.
Surah An-Naml in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But indeed, I will send to them a gift and see with what [reply] the messengers will return."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini mimi nitawapelekea zawadi, nami nitangoja watakayo rudi nayo wajumbe.
Na mimi kwa kupendelea salama na uzima nitampelekea zawadi Sulaiman na kaumu yake, na nitatazama wajumbe watarejea na nini - wataikubali zawadi au watairudisha?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi mnakwenda wapi?
- Tangu zamani walitaka kukutilieni fitna, na wakakupindulia mambo juu chini, mpaka ikaja Haki na ikadhihirika
- Alivyo kubakishieni Mwenyezi Mungu ndiyo bora kwa ajili yenu, ikiwa nyinyi ni Waumini. Wala mimi
- Basi jiepushe nao. Siku atakapo ita mwitaji kuliendea jambo linalo chusha;
- Ambao walifanya jeuri katika nchi?
- Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
- Sema: Ameyateremsha haya ajuaye siri za katika mbingu na ardhi. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
- Na wanasema: Ahadi hii itakuwa lini, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
- Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب