Surah Muhammad aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِن يَسْأَلْكُمُوهَا فَيُحْفِكُمْ تَبْخَلُوا وَيُخْرِجْ أَضْغَانَكُمْ﴾
[ محمد: 37]
Na akikutakeni hayo na kukushikilieni mtafanya ubakhili, na atatoa undani wa chuki zenu.
Surah Muhammad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
If He should ask you for them and press you, you would withhold, and He would expose your unwillingness.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na akikutakeni hayo na kukushikilieni mtafanya ubakhili, na atatoa undani wa chuki zenu.
Akikutakeni na akakushikilieni basi nyinyi mtafanya uchoyo, na chuki zenu zitaonekana kwa mnavyo yapenda mali.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika Moto huo unatoa macheche kama majumba!
- Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.
- Na Mahurulaini,
- Au waliweza kupitisha amri yao? Bali ni Sisi ndio tunao pitisha.
- Na Mwenyezi Mungu anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza.
- (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
- Kisha Adam akapokea maneno kwa Mola wake Mlezi, na Mola wake Mlezi alimkubalia toba yake;
- Hakika wanao kula mali ya mayatima kwa dhulma, hapana shaka yoyote wanakula matumboni mwao moto,
- Nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzuliya uwongo Mwenyezi Mungu, au anaye sema: Mimi nimeletewa
- Na kwa usiku na unavyo vikusanya,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muhammad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muhammad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muhammad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



