Surah Yasin aya 82 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّمَا أَمْرُهُ إِذَا أَرَادَ شَيْئًا أَن يَقُولَ لَهُ كُن فَيَكُونُ﴾
[ يس: 82]
Hakika amri yake anapo taka kitu ni kukiambia tu: Kuwa! Na kikawa.
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
His command is only when He intends a thing that He says to it, "Be," and it is.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika amri yake anapo taka kitu ni kukiambia tu: Kuwa! Na kikawa.
Hakika shani yake katika kuumba anapo taka kiwe kitu ni kukiambia tu: Kuwa! Kikawa, na hutokea hapo hapo!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na walipanga walio kuwa kabla yao, lakini Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye mipango yote. Yeye anajua
- Na tukamwachia (sifa njema) kwa watu walio kuja baadaye.
- Na kama liko kundi miongoni mwenu lililo amini haya niliyo tumwa, na kundi jengine halikuamini,
- Na mshike Sala, na mcheni Yeye, na kwake Yeye ndiko mtako kusanywa.
- Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho
- Hakika haya ni majaribio yaliyo dhaahiri.
- Aliye umba, na akaweka sawa,
- Na rejeeni kwa Mola wenu Mlezi, na silimuni kwake, kabla ya kukujieni adhabu. Kisha hapo
- Hakika Malaika watawaambia wale ambao wamewafisha nao wamejidhulumu nafsi zao: Mlikuwa vipi? Watasema: Tulikuwa tunaonewa.
- Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers